Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu

(DSFA)

Dira na Dhima

DIRA

‘‘Kuwa na uvuvi mahiri katika Ukanda Maalum wa Uchumi
wa Bahari unaokidhi mahitaji ya kitaifa na kikanda ya kizazi
cha sasa na kijacho’’.

DHIMA

“Kuendeleza, kusimamia, kuhifadhi na kutumia kwa
uendelevu rasilimali za uvuvi katika Ukanda Maalum wa
Uchumi wa Bahari kwa ukuaji wa kiuchumi na kijamii”.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo