Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) baada ya kufanya ziara Ofisini hapo
Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar Mhe. Masoud Ali Mohammed akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu baada ya kufanya ziara katika Mamlaka hiyo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Bi. Agnes Meena (katikati) akizindua mpango wa kitaifa wa usimamizi wa samaki aina ya Jodari na mpango wa uhifadhi wa samaki aina ya papa na taa Novemba 21, 2025 alipokuwa akihitimisha kilele cha maadhimisho ya Siku ya Mvuvi Duniani
Afisa Mkaguzi wa meli za uvuvi wa DSFA bwana Peter Shunula akikagua meli ya uvuvi iliyofunga gati Dar es Salam