Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu

(DSFA)

Misingi mikuu

MISINGI YETU

Katika kutekeleza majukumu yetu, DSFA itazingatia
msingi wa maadili ifuatayo:-

  1. Uadilifu: Tunatoa huduma zetu kwa viwango vya juu vya maadili, na kanuni za maadili na heshima.
  2. Hisani: Tunatoa huduma zetu katika mazingira rafiki.
  3. Uwajibikaji na Wajibu: Tunawajibika kwa matendo yetu katika utoaji wa huduma zetu.
  4. Kujali Mahitaji ya Wateja: Tunatoa huduma kwa kutanguliza mahitaji na matarajio ya wateja wetu.
  5. Mwelekeo wa Matokeo: Tunajitahidi kutimiza malengo yanayotarajiwa katika nyanja zote.
  6. Uwazi: Tunashirikishana kwa uwazi kuhusu taarifa muhimu na kutoa maoni ya haraka kwa wateja wetu.
  7. Bila upendeleo: Tunatoa huduma zetu kwa haki.
Mrejesho, Malalamiko au Wazo